Msaada wako unahitajika

Mchango wako unahitajika kuchangia kununua hili Temple na kulifanya kuwa shule ya kiislamu hapo Leicester mjini (Leicester Town Centre). Jengo lina sehemu kubwa kabisa (Hall) ya kufanya msikiti. Inshaallah tukifanikiwa itakuwa ndio msikiti wa kwanza kuwa Town Centre hapa Leicester. Toa kwa ajili ya Allah, chochote utakachotoa ni sawa na sadakat jariya kwani malipo yake yataendelea hata kama utakuwa umetangulia mbele ya haki. Jazakallah Khayr Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi: madrasatulnoor.01@gmail.com

Wednesday, 29 August 2012

Video: Watoa sharti la kuruhusiwa kula nyama ya Punda ili wakubali kuhesabiwa huko Arusha


Sensa ya mwaka huu nchini Tanzania imekumbwa na mambo kibao. Ikiwa baadhi ya waislamu nchini humo wakikataa kuhesabiwa kwa sababu zao fulani.

Huko nchini Arusha kuna baadhi ya watu sharti lao lilikuwa waruhusiwe kula nyama ya Nyani na kunywa gongo au waruhusiwe kula nyama ya Punda. Hivyo serikali katika kufanikisha zoezi la uandikishaji ikaona bora watoe ruksa ya wananchi hao kula nyama ya Punda.

No comments:

Post a Comment