Sensa ya mwaka huu nchini Tanzania imekumbwa na mambo kibao. Ikiwa baadhi ya waislamu nchini humo wakikataa kuhesabiwa kwa sababu zao fulani.
Huko nchini Arusha kuna baadhi ya watu sharti lao lilikuwa waruhusiwe kula nyama ya Nyani na kunywa gongo au waruhusiwe kula nyama ya Punda. Hivyo serikali katika kufanikisha zoezi la uandikishaji ikaona bora watoe ruksa ya wananchi hao kula nyama ya Punda.
No comments:
Post a Comment