Msaada wako unahitajika
Mchango wako unahitajika kuchangia kununua hili Temple na kulifanya kuwa shule ya kiislamu hapo Leicester mjini (Leicester Town Centre).
Jengo lina sehemu kubwa kabisa (Hall) ya kufanya msikiti.
Inshaallah tukifanikiwa itakuwa ndio msikiti wa kwanza kuwa Town Centre hapa Leicester.
Toa kwa ajili ya Allah, chochote utakachotoa ni sawa na sadakat jariya kwani malipo yake yataendelea hata kama utakuwa umetangulia mbele ya haki. Jazakallah Khayr
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi: madrasatulnoor.01@gmail.com
Thursday, 19 July 2012
Picha: Shughuli ya kuzika maiti zilizopatikanwa kutoka katika ajali ya meli Zanzibar
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli ya Skagit iliozama hapo jana zikitambuliwa na Ndugu zao na kuruhusiwa Kuzichukuwa kwa ajili ya Kufanya taratibu za mazishi hapo katika Viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar.
Waziri wa Mamboya ndani wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Emanuel Nchimbi alifikakatika Eneo lililohifadhiwa Maiti wa Ajali ya Meli ya Skagit ili kutambuliwa na Ndugu zao na Kupata maelezo kwa Daktari Kiongozi hayupo pichani Hapo katika Viwanja Vya Maisara Zanzibar.
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
Source: ZanziNews
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment