- Yaibugiza Tottenham 5 - 1
- Mwamuzi awagaia Chelsea goli la pili

Drogba akijikunjua na kupiga shuti lililokwenda moja kwa moja nyavuni na kuandika goli la kwanza la Chelsea


Goli la pili la Chelsea walilogaiwa na mwamuzi, kwa sababu mpira ulikuwa haujavuka mstari wa goli lakini mwamuzi akaamua iwe goli

Gareth Bale akiipatia Tottenham bao la kufutia machozi

Ramires akiipatia Chelsea goli la tatu

Frank Lampard akifunga goli la nne kwa mpira wa adhabu ambao ulieenda moja kwa moja nyavuni

Florent Malouda akikamilisha karamu ya magoli
No comments:
Post a Comment